Wa Australia kupewa kionjo cha maisha katika kambi za wakimbizi

Mahema katika kambi yamuda yawakimbizi ya Kara Tepe, Lesbos

Mahema katika kambi yamuda yawakimbizi ya Kara Tepe, Lesbos Source: Sipa USA Danilo Campailla / SOPA Images/S

Mashirika yanayo toa huduma kwa wakimbizi na waomba hifadhi mjini Sydney, Australia, yana andaa maonesho yakutoa elimu kwa jamii pana kuhusu uzoefu wa wakimbizi.


Mradi huo unajumuisha ujenzi wa kambi sawia na zile ambazo wakimbizi huishi ndani, kwa lengo lakuipa jamii pana ambayo haina historia ya ukimbizi kuhusu changamoto ambazo wame pitia.

Bi Saada alieleza idhaa ya Kiswahili ya SBS, umuhimu wa mradi huo na manufaa yake kwa jamii pana.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wa Australia kupewa kionjo cha maisha katika kambi za wakimbizi | SBS Swahili