SKIP TO MAIN CONTENT

Wa Australia kupewa kionjo cha maisha katika kambi za wakimbizi

Mahema katika kambi yamuda yawakimbizi ya Kara Tepe, Lesbos
Mahema katika kambi yamuda yawakimbizi ya Kara Tepe, Lesbos Source: Sipa USA Danilo Campailla / SOPA Images/S

Mashirika yanayo toa huduma kwa wakimbizi na waomba hifadhi mjini Sydney, Australia, yana andaa maonesho yakutoa elimu kwa jamii pana kuhusu uzoefu wa wakimbizi.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Mashirika yanayo toa huduma kwa wakimbizi na waomba hifadhi mjini Sydney, Australia, yana andaa maonesho yakutoa elimu kwa jamii pana kuhusu uzoefu wa wakimbizi.


Mradi huo unajumuisha ujenzi wa kambi sawia na zile ambazo wakimbizi huishi ndani, kwa lengo lakuipa jamii pana ambayo haina historia ya ukimbizi kuhusu changamoto ambazo wame pitia.

Bi Saada alieleza idhaa ya Kiswahili ya SBS, umuhimu wa mradi huo na manufaa yake kwa jamii pana.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now