Wa Australia wakaribisha tena tamaduni za Ramadan, zilizo simamishwa na vizuizi mwakajana

Bango la salamu za Ramadan

Bango la salamu za Ramadan Source: iStockphoto

Zaidi ya nusu ya milioni yawa Islamu wa Australia, wana adhimisha siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadan ambao ume anza hii leo jumanne 13 Aprili 2021.


Waumini mwaka huu, wanatazamia kurejea kwa baadhi ya hali ya kawaida baada ya janga kusababisha uharibifu mwaka jana ila, wengine bado wanashindwa kukabiliana na shinikizo lakiuchumi.

Ila kama utalia ndani au nje, kitu moja kwa hakika ni kwamba, kuvunja mfungo namarafiki pamoja na familia imerejeshwa kwenye ajenda.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service