Zaidi ya nusu ya milioni yawa Islamu wa Australia, wana adhimisha siku ya kwanza ya mwezi mtukufu wa Ramadan ambao ume anza hii leo jumanne 13 Aprili 2021.
Waumini mwaka huu, wanatazamia kurejea kwa baadhi ya hali ya kawaida baada ya janga kusababisha uharibifu mwaka jana ila, wengine bado wanashindwa kukabiliana na shinikizo lakiuchumi.
Ila kama utalia ndani au nje, kitu moja kwa hakika ni kwamba, kuvunja mfungo namarafiki pamoja na familia imerejeshwa kwenye ajenda.
Share






