Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Waganga wakienyeji walikata viungo vya Jessy na George, sasa madaktari wa Australia wanarejesha afya yao

Jessy and George in Brisbane (SBS).jpg

Ushirikina umefanywa kwa mufa mrefu kote nchini Uganda.


Published

By Jennifer Scherer

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Ushirikina umefanywa kwa mufa mrefu kote nchini Uganda.


Ni nchi ambako maswala ya enzi za zamani naya kisasa hukutana, watu wengi wanao ishi vijijini wana endeleza imani zama babu wao, wakati mjini kuna kasi ya maendeleo yakiuchumi. Ila kutoka mgongano huu wa tamaduni, swala lakutisha lina endelea kukuwa na, watoto wa Uganda wana lipa gharama.

Watoto wanapotea na wanakuwa waathiriwa wa kafara ya binadam, kwa mikono ya 'washirikina' au wachawi. Imekadiriwa kuwa angalau watoto wawili hupotea kila wiki, mara nyingi watoto hao hutekwa kwa kafara zakiibada.

Wanaharakati wamesema, ongezeko la visa hivyo, ina husiana na umasikini, sera duni kuwahusu wachawi na takriban asilimia 80 ya umma inayo tafuta ushauri kutoka kwa waganga wakienyeji.

Onyo kwa wasilikilizaji, makala haya yana kera sana.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now