Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wagombea waongoza njia kwa uwakilishi wa wana Afrika

Wagombea wa uchaguzi wa halmashauri katika jimbo la Victoria

Wagombea wa uchaguzi wa halmashauri katika jimbo la Victoria: Eli Muse kushoto), Ring Mayar (katikati) na Susan Yengi (kulia) Source: SBS

Wagombea watatu katika uchaguzi wa halmashauri jimboni Victoria, wanajaribu kutengeza historia kwakuwa madiwani wakwanza jimboni humo walio zaliwa barani Afrika.


Published

Updated

By Abby Dinham

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Wagombea watatu katika uchaguzi wa halmashauri jimboni Victoria, wanajaribu kutengeza historia kwakuwa madiwani wakwanza jimboni humo walio zaliwa barani Afrika.


Wakitetea uwakilishaji bora, wagombea hao wanatumai kutengeza njia mpya, wa jamii zawachache zawa Afrika.

Ila kwa watu wanao taka kuwaona waafrika wengi zaidi wakiwakilishwa katika uongozi wa halmashauri za jiji, kampeni zinaendelea kwa kina na watumaini yame anza kwa kura kupigwa tarehe 24 Oktoba, ambapo inatarajiwa enzi mpya ya utofauti ita anza.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now