Wakitetea uwakilishaji bora, wagombea hao wanatumai kutengeza njia mpya, wa jamii zawachache zawa Afrika.
Wagombea waongoza njia kwa uwakilishi wa wana Afrika

Wagombea wa uchaguzi wa halmashauri katika jimbo la Victoria: Eli Muse kushoto), Ring Mayar (katikati) na Susan Yengi (kulia) Source: SBS
Wagombea watatu katika uchaguzi wa halmashauri jimboni Victoria, wanajaribu kutengeza historia kwakuwa madiwani wakwanza jimboni humo walio zaliwa barani Afrika.
Share