Wagombea waongoza njia kwa uwakilishi wa wana Afrika

Wagombea wa uchaguzi wa halmashauri katika jimbo la Victoria

Wagombea wa uchaguzi wa halmashauri katika jimbo la Victoria: Eli Muse kushoto), Ring Mayar (katikati) na Susan Yengi (kulia) Source: SBS

Wagombea watatu katika uchaguzi wa halmashauri jimboni Victoria, wanajaribu kutengeza historia kwakuwa madiwani wakwanza jimboni humo walio zaliwa barani Afrika.


Wakitetea uwakilishaji bora, wagombea hao wanatumai kutengeza njia mpya, wa jamii zawachache zawa Afrika.

Ila kwa watu wanao taka kuwaona waafrika wengi zaidi wakiwakilishwa katika uongozi wa halmashauri za jiji, kampeni zinaendelea kwa kina na watumaini yame anza kwa kura kupigwa tarehe 24 Oktoba, ambapo inatarajiwa enzi mpya ya utofauti ita anza.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wagombea waongoza njia kwa uwakilishi wa wana Afrika | SBS Swahili