Wakenya wafunguka kuhusu umuhimu wa siku ya Mashujaa

Wanawake dhidi ya wanaume katika michezo ya kuadhimisha siku ya Mashujaa mjini Sydney, NSW, Australia.jpg

Wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walijumuika katika bustani ya Australia Botanic Garden kwa maadhimisho ya siku ya Mashujaa.


Wanajumuiya hao walishiriki katika matukio mbali mbali, na baadhi yao walichangia maoni yao na SBS Swahili kuhusu umuhimu wa maadhimisho hayo nchini Australia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service