Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wakenya wafunguka kuhusu umuhimu wa siku ya Mashujaa

Wanawake dhidi ya wanaume katika michezo ya kuadhimisha siku ya Mashujaa mjini Sydney, NSW, Australia.jpg

Wakenya wanao ishi mjini Sydney, NSW walijumuika katika bustani ya Australia Botanic Garden kwa maadhimisho ya siku ya Mashujaa.


Wanajumuiya hao walishiriki katika matukio mbali mbali, na baadhi yao walichangia maoni yao na SBS Swahili kuhusu umuhimu wa maadhimisho hayo nchini Australia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now