Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Wakenya wafunguka kuhusu visa vya utekaji nyara

Inspekta Jenerali wa Polisi wa Kenya Douglas Kanja, akiwa pamoja na viongozi wenzake

Vyombo vya usalama nchini Kenya vina endelea kushtumiwa kwa visa vya utekaji nyara.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Share this with family and friends


Vyombo vya usalama nchini Kenya vina endelea kushtumiwa kwa visa vya utekaji nyara.


Hata hivyo, viongozi wa vyombo vya madola nchini humo, wame kana shutma hizo waki dai hawajui wanao fanya utekaji nyara huo pamoja na sehemu mateka husika walipo.

Katika mahojiano maalum, SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya wakenya wanao ishi Australia walio funguka kuhusu visa hivyo.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now