Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wakenya waomboleza kifo cha rais mstaafu Daniel Arap Moi

Wakenya waomboleza kifo cha rais mstaafu Daniel Arap Moi

Wakenya waomboleza kifo cha rais mstaafu Daniel Arap Moi Source: Getty Images

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametangaza maombolezo ya kitaifa baada ya kufariki rais wa pili wa nchi hiyo, Daniel Arap Moi.


"Marehemu Moi aliongoza Kenya kwa utaratibu hadi ikarejelea mfumo wa vyama vingi vya kisiasa na pia kupitia changamoto nyingi hadi pale alipopokeza mamlaka kwa mrithi wake kwa njia ya amani mnamo mwaka wa 2002," alisema Kenyatta.

Moi aliongoza Kenya kuanzia mwaka 1978 hadi 2002, utawala wake chini ya mfumo wa chama kimoja ukigubikwa na madai ya mienendo ya kiimla, uvunjifu wa haki za binadamu na ubadhirifu.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now