Wanafunzi wakimataifa walengwa wakuu wa mageuzi ya uhamiaji nchini Australia

International Students

Credit: bestressnomore.wordpress.com

Serikali ya shirikisho imewasilisha mageuzi kadhaa kwa viza za wanafunzi wakimataifa, kama sehemu ya mageuzi makubwa ya uhamiaji yaliyo tangazwa Jumatatu 11 Disemba 2023.


Mkakati huo wa miaka kumi, unalenga kupunguza nusu ya uhamiaji wa jumla, wakati huo huo unawavutia wafanyakazi wenye ujuzi mwingi pamoja na wafanyakazi muhimu.

Serikali imekuwa chini ya shinikizo kuhusu mgogoro wa gharama ya maisha na, uwezo wa kumudu nyumba unazidi kuwa mbaya.

Kati ya wasiwasi huo, serikali imezindua mpango wake wa mkakati mpya wa uhamiaji.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service