Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Wanaume wakaribishwa kuchangia chakula na kutafuta suluhu za changamoto zao

Bango la mkutano wa wanaume jimboni Victoria.jpg

Ni nadra kupata kundi linalo shughulikia maswala ambayo huwakabili wanaume nchini Australia.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Ni nadra kupata kundi linalo shughulikia maswala ambayo huwakabili wanaume nchini Australia.


David Kamande ndiye Mwenyekiti wa shirika la Men Cave Forum, lenye makao makuu mjini Melbourne, Victoria.

Katika mahojiano maalum na SBS Swahili, alifunguka kuhusu maandalizi ya mkutano anao waandalia wanaume Jumamosi 3 Februari 2024 katika kanisa la Baptist la Essendon.

Mkutano huo uta anza saa tatu asubuhi na tamati yake itakuwa saa tisa mchana.

Kwa taarifa zaidi kuhusu mkutano huo bonyeza hapo juu na tembelea:

www.kcv.org


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now