Wapatanishi wa EAC na SADC waongeza kasi ya kujaribu kusuluhisha mzozo wa DRC

Uhuru Kenyatta and Olusegun Obasanjo

Credit: AAP Image/Gonzalo Fuentes/Pool via AP/Getty Images/Ernest Ankomah

Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na ile ya SADC, wameongeza kasi ya kujaribu kusuluhisha mzozo wa mashariki mwa nchi ya DRC.


Viongozi hao wame ongeza timu ya wapatanishi, kufuatia kikao chao cha Jumatatu ya wiki hii.

Katika kikao chao, mbali na wapatanishi wa awali, rais wa zamani wa Kenya, Uhuru Kenyatta na mwenzake wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, waliwaongeza viongozi wengine katika timu ya upatanishi akiwemo rais wa zamani wa Afrika Kusini, Kgalema Motlante, rais wa zamani wa jamuhuri ya Afrika ya Kati, Catherine Samba Panza.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.




Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wapatanishi wa EAC na SADC waongeza kasi ya kujaribu kusuluhisha mzozo wa DRC | SBS Swahili