Wasiwasi wazingira hatua yakuwarejesha wanafunzi shuleni, maambukizi ya UVIKO-19 yanapo endelea kuongezeka nchini

Students use a hand sanitiser station as they arrive to Carlton Gardens Primary school in Melbourne, Thursday, February 18, 2021. Victoria has recorded no new locally acquired coronavirus cases as life returns to COVID-normal after the state's five-day "c

Source: AAP

Wiki hii mpango wakurejea salama shuleni kwa wanafunzi na walimu pamoja na pendekezo la waendesha magari ya kazi wachanga ndani ya viwanda, ilikuwa moja yamalengo makuu ya baraza lamawaziri wakitaifa, wakati Australia imefikia takwimu zingine za kesi za Uviko.


Licha ya wiki za uvumi kuwa viongozi wata afikiana mwelekeo wa uratibu, Scott Morrison alithibitisha baada ya mkutano wa baraza lamawaziri wakitaifa kuwa, mipango yakureja salama shuleni ita tangazwa na kila jimbo binafsi.

Inatarajiwa kuwa kila jimbo lita tekeleza majukumu yake kivyake.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Wasiwasi wazingira hatua yakuwarejesha wanafunzi shuleni, maambukizi ya UVIKO-19 yanapo endelea kuongezeka nchini | SBS Swahili