Licha ya wiki za uvumi kuwa viongozi wata afikiana mwelekeo wa uratibu, Scott Morrison alithibitisha baada ya mkutano wa baraza lamawaziri wakitaifa kuwa, mipango yakureja salama shuleni ita tangazwa na kila jimbo binafsi.
Wasiwasi wazingira hatua yakuwarejesha wanafunzi shuleni, maambukizi ya UVIKO-19 yanapo endelea kuongezeka nchini

Source: AAP
Wiki hii mpango wakurejea salama shuleni kwa wanafunzi na walimu pamoja na pendekezo la waendesha magari ya kazi wachanga ndani ya viwanda, ilikuwa moja yamalengo makuu ya baraza lamawaziri wakitaifa, wakati Australia imefikia takwimu zingine za kesi za Uviko.
Share