Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wito watolewa kwa vipimo vya ziada vifanywe wakati kesi za COVID-19 zikipungua

Acting Premier John Barilaro (left), NSW Minister for Health Brad Hazzard (centre) and NSW Chief Medical Officer Dr Kerry Chant.

Acting Premier John Barilaro (left), NSW Minister for Health Brad Hazzard (centre) and NSW Chief Medical Officer Dr Kerry Chant. Source: AAP

Jimbo la New South Wales halijarekodi visa vipya vya coronavirus katika jamii ila, maambukizi mawili yalirekodiwa baada ya saa mbili za usiku wa jumapili.


Published

Updated

By Sarah Chlala

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Jimbo la New South Wales halijarekodi visa vipya vya coronavirus katika jamii ila, maambukizi mawili yalirekodiwa baada ya saa mbili za usiku wa jumapili.


Idadi hiyo itajumuishwa katika takwimu za jumma nne 5 Januari. Maafisa wa afya jimboni humo wame jpa changamoto, yaku fanya vipimo elfu hamsini kwa siku.

Utoaji wa chanjo hiyo umehojiwa na chama cha upinzani cha shirikisho ila, Bw Kelly ametetea muda ambao serikali imeweka, akisema ni muda wakihafidhina. Chanjo zinatarajiwa kufikishwa nchini Machi, hatakama bado hazija idhinishwa na mamlaka husika yamadawa.

Kwa misaada yakiafya iliyopo kwa sasa, kwa jibu la janga la COVID-19 katika lugha yako, tembelea tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now