Watu saba, wakiwemo raia watano wa Marekani na mkuu wa ujasusi wa Ecuador, wamefariki baada ya helikopta ya watalii kuanguka karibu na Mlima Ololokwe, katika kaunti ya Samburu nchini Kenya.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Kenya, KCAA, imesema ajali hiyo ilitokea saa 3:13 asubuhi Jumatano. Helikopta hiyo ilikuwa ikisafiri kutoka Hifadhi ya Loisaba kuelekea eneo la Ewaso Nyiro.
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





