Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Jinsi yakujilinda dhidi ya wizi wa utambulisho nchini Australia

cyber risks

Uhalifu wa utambulisho ni tisho kubwa nchini Australia, ambako kuna ongezeko ya idadi ya watu wanao endelea kuwa waathiriwa wa uhalifu wa utambulisho kila mwaka.


Published

By Chiara Pazzano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Uhalifu wa utambulisho ni tisho kubwa nchini Australia, ambako kuna ongezeko ya idadi ya watu wanao endelea kuwa waathiriwa wa uhalifu wa utambulisho kila mwaka.


Waathiriwa walioigwa mara nyingi hukabiliwa na matokeo mabaya, yanayo jumuisha hasara zakifedha, uharibifu wa alama zao za mkopo pamoja na athari zakisheria.

Ila kuna hatua unaweza chukua, kupunguza hatari ya taarifa zako binafsi kuibiwa au kutumiwa vibaya.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now